Tweetovi
- Tweetovi, trenutna stranica.
- Tweetovi i odgovori
- Medijski sadržaj
Blokirali ste korisnika/cu @swahilitimes
Jeste li sigurni da želite vidjeti te tweetove? Time nećete deblokirati korisnika/cu @swahilitimes
-
Serikali Wilayani Moshi imelifunga kanisa la Evangelist Assembles of God (E.A.G.T) Mawenzi lililopo Mtaa wa Vigae kutokana na mgogoro kati ya waumini na uongozi wa juu wa kanisa. Waumini wanapinga uamuzi wa uongozi kumfukuza kwa hila mchungaji mwanzilishi na kumleta mwingine.pic.twitter.com/2BaDiaYzBU
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Inmi Patterson akikabidhi vifaa vya thamani ya US$ 18M (TZS 41.6B) kwa JWTZ kama sehemu ya Kikosi Maalumu cha Kulinda Amani Afrika. Pamoja naye ni Mkuu wa Majeshi Tanzania Jenerali Venance Mabeyo na Waziri wa Ulinzi, Dkt Hussein Mwinyi.pic.twitter.com/6nWPbGTu5x
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Wanafunzi 14 wamefariki dunia huku wengine 39 wakijeruhiwa jana Februari 3 katika Shule ya Msingi Kakamega nchini
#Kenya, kutokana na kukanyagwa na wenzao na wengine kuanguka, baada ya ngazi toka ghorofa ya 3 kuvunjika wakati wakiteremka chini baada ya kumaliza vipindi vya siku.pic.twitter.com/Owj7RJadzE
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Ofisi ya Taifa ya Takwimu
#Tanzania (NBS), inaonyesha kuwa ajira 137,054 sawa na asilimia 25% ya ajira zote zilizozalishwa na Sekta Binafsi Tanzania zilipungua kutoka ajira 239,017 mwaka 2016/17 hadi ajira 137,054 mwaka 2017/18.pic.twitter.com/jAlBcof1XN
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Ofisi ya Taifa ya Takwimu
#Tanzania (NBS) inaonyesha kuwa, kati ya ajira 552,063 zilizozalishwa Tanzania mwaka 2017/18, ajira 415,009 sawa na 75% zilikuwa ni ajira kutoka Serikalini (18,000 kutoka Serikali Kuu + 397,009 kutoka katika miradi ya maendeleo)pic.twitter.com/faGHSYDvEb
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Ofisi ya Taifa ya Takwimu
#Tanzania (NBS), inaonyesha kuwa mwaka 2017/18 kulikuwa na jumla ya ajira 552,063 zilizozalishwa Tanzania ikilinganishwa na ajira 453,466 kwa 2016/17. Imeeleza kwamba ongezeko hilo ni sawa na ajira 98,597 (21.7%) kati ya mwaka 2016/17 na mwaka 2017/18.pic.twitter.com/PyoTtCugMM
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Tufanye haya ili kuhakikisha sekta ya mawasiliano ya simu
#Tanzania inaendelea kukua na kustawihttps://swahilitimes.com/2020/02/01/tufanye-haya-ili-kuhakikisha-sekta-ya-mawasiliano-ya-simu-tanzania-inaendelea-kukua-na-kustawi/ …Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Utofauti wa mpangilio na mandhari ya makazi toka angani, kwa maeneo yanayopakana Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni sehemu ya eneo la Msasani na kulia ni sehemu ya eneo la Oyster Bay. Maeneo haya mawili hutenganishwa na barabara ya Ali Bin Said.
Google Earth/Maxar Technologiespic.twitter.com/Qx8qHEmmlr
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Tanzia Rais Mstaafu wa
#Kenya, Daniel arap Moi, amefariki dunia leo akiwa na umri wa miaka 95. Kuzaliwa: Septemba 2, 1924 Urais: 1978 - 2002 (miaka 24) Taaluma: Mwalimu Mke: Lena Moi (kf. 2004) Watoto: 8 Moja ya tishio kubwa akiwa madarakani: Jaribio la kupinduliwa mwaka 1982.pic.twitter.com/FwKT1qQPE6
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Uwazi Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/qqrBzyfz3G
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Mwanaspoti Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/a0iI3pncbe
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Habarileo Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/odq0skLDbT
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Mtanzania Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/h9dKG4V4wf
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Nipashe Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/8xS1Ru9hk6
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Majira Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/zaheaG1PQ3
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Mwananchi Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/95bwBSL3QT
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo Uhuru Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/8HJt3geL58
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#MagazetiYaLeo TanzaniaDaima Jumanne Februari 4, 2020pic.twitter.com/ndPHDXQcIf
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mahakama ya Kikatiba Malawi imebatilisha matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Mei 21 2019, na kusema haukuwa huru na wa haki. Maamuzi hayo yamefuta ushindi wa Rais Peter Mutharika pamoja na Wabunge na Madiwani wote. Rais Mutharika anabaki madarakani kusubiri uchaguzi mpya.pic.twitter.com/0yjxmwtWDT
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Taarifa ya Serikali ya
#Sweden kubadili mkakati wake wa ushirikiano wa kimaendeleo na#Tanzaniahttps://swahilitimes.com/2020/02/03/taarifa-ya-serikali-ya-sweden-kubadili-mkakati-wake-wa-ushirikiano-wa-kimaendeleo-na-tanzania/ …Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
Čini se da učitavanje traje već neko vrijeme.
Twitter je možda preopterećen ili ima kratkotrajnih poteškoća u radu. Pokušajte ponovno ili potražite dodatne informacije u odjeljku Status Twittera.