Tweetovi
- Tweetovi, trenutna stranica.
- Tweetovi i odgovori
- Medijski sadržaj
Blokirali ste korisnika/cu @hpolepole
Jeste li sigurni da želite vidjeti te tweetove? Time nećete deblokirati korisnika/cu @hpolepole
-
Prikvačeni tweet
@ccm_tanzania inakaribisha maoni ya wananchi tunapoandika Mwelekeo wa Sera za CCM 2020-2030 na Ilani ya Uchaguzi 2020-2025. Mwisho wa kupokea maoni ni 25 Januari 2019. Heri ya Mwaka Mpya 2020 na Mungu awabarikipic.twitter.com/bi6CFKSGF1
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Leo kimezaliwa Chama kikubwa No. 1, Afrika na Duniani No. 2
@ccm_tanzania Miaka 43 ya CCM, Tumeahidi, Tumetekeleza na Tunaahidi tena Kuchapa Kazi kwa Juhudi, Ubunifu na Maarifa Zaidi. Kidumu Chama Cha Mapinduzi (CCM). Heri ya ya kuzaliwa CCMpic.twitter.com/8HwX82s2G5
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mojawapo ya vyanzo vya Bajeti katika nchi yoyote ni pamoja na 1. Mapato ya ndani 2. Maduhuli 3. Mikopo na 4. Misaada (hapa kwetu tunaamua aina ya mikopo, misaada na masharti yake yasiyo tweza uhuru wetu). Nani alikwambia ukijitegemea haukopi?https://twitter.com/Jchris66283712/status/1221807085115125761 …
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Kumbe tatizo ni Uchaguzi 2020. Kabwe anaomba tunyimwe mkopo wa kuongeza umadhubuti wa elimu ya watoto wetu kwasababu anajua ni jukumu letu kujenga shule na sifa zitakuja CCM, inayokwama si CCM, ni watoto wa Kigoma Ujiji. Kushinda tutashinda tu! Najiuliza watoto wake wanasomawapi?https://twitter.com/zittokabwe/status/1221694175881629696 …
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Humphrey Polepole proslijedio/la je Tweet
“Ni vizuri wapinzani wetu wakaelewa kuwa Chama Cha Mapinduzi hatulali, siku hizi tunaingia kwa awamu, wapo wanaoingia mchana na wapo wanaoingia usiku kuhakikisha chama chetu kinapiga hatua na utekelezaji wa Ilani unakwenda vizuri”. Ndg
@hpolepole, Ubungo - Dar.Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Sema wewe ndugu yangu, Serikali ya
@ccm_tanzania itaendelea kuleta Maendeleo kwa watanzania wote na tukiamini Maendeleo hayana Chama!#Shukuraniyapundahttps://twitter.com/SaidMselem1/status/1217413639281561605 …Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Sikukuu Njema za Miaka 56 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibarpic.twitter.com/bRZjfy1KZW
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Humphrey Polepole proslijedio/la je Tweet
"Nimefanya kazi na marais wote,mwalimu Nyerere miaka 18,akaja mzee mwinyi miaka 10,mzee Mkapa miaka 10,akaja mzee Kikwete miaka 5 na miezi 6,amekuja Rais Magufuli nina miaka 2 kama na nusu hivi lakini shughuli yake pevu"Philip Mangula makamu mwenyekiti wa CCM Tanzania bara.pic.twitter.com/UqLBCBQoGs
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Tumepokea changamoto ya usafiri, Kilwa na Kisiwa cha Mafia. Chama kimeshaelekeza Serikali kutoa usafiri maalum ili kuondoa kadhia hiyo kutoka Jeshi la Wananchi (JWTZ). Tutaendelea kushughulika na utatuzi wa kero za watu ndani ya muda mfupi, mipango ya muda wa kati na muda mrefu.
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Humphrey Polepole proslijedio/la je Tweet
Mwonekano wa kituo cha Afya cha Muriet ambacho kinahudumia wakazi 150 kwa siku wa kata za Olasiti, Muriet,sokoni1,sombetini,Osunyai, na Terrat,Ambacho wakinamama wajawazito 1180 wanaotarajia kujifungua mwakani wamejiandikisha, Ujenzi wa kituo hiki ni 1.5 Bil"pic.twitter.com/P0HFY8OV0t
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Humphrey Polepole proslijedio/la je Tweet
Mheshimiwa Rais
@MagufuliJP nauza Album yangu hii ya KISIMANI kwa 12,000/- tu. Naomba unisaidie kuitangaza japo hata kwa ku retweet nipate wateja. Kwa heshima wewe utapata nakala ya Bure, unless Mh@hpolepole awe alikupa tayari maana alinunua CD kama 20.
#SupportYourOwnpic.twitter.com/JDCSA6631I
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Leo inafanyika Semina ya Wajumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa (HKT) ya CCM, Lengo la Semina ni kuwazatiti wajumbe na Maarifa yahusuyo mbinu, mikakati na mipango ya kuendelea kuwaletea watanzania Maendeleo. Semina itafunguliwa na Komredi John Magufuli, Mwkt wa Chama na Rais wa Nchi.
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM)
@ccm_tanzania kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wake Cpt. Mst. Jaka Mwambi. Uongozi wa Chama na wanachama unatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa. Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa Jina lake Lihimidiwe, Amina.Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Chama Cha Mapinduzi (CCM)
@ccm_tanzania kimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa ya kifo cha kada wake Ndg. Ali Mufuruki, Mjasiriamali mzawa na Kiongozi wa Sekta binafsi nchini. Tunatoa salamu za pole kwa familia, ndugu na jamaa. إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعُونَHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Nimejiandikisha Makao Makuu ya Nchi, Jijini Dodoma ambako mimi ni Mkaazi. Kwa kazi hii nzuri,
#Nitamchaguatena#Achakaziiendelee Kajiandikishe, Wiki ya uandikishaji Dodomapic.twitter.com/2Gvcuw1ua4
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
Čini se da učitavanje traje već neko vrijeme.
Twitter je možda preopterećen ili ima kratkotrajnih poteškoća u radu. Pokušajte ponovno ili potražite dodatne informacije u odjeljku Status Twittera.
