Tweetovi
- Tweetovi, trenutna stranica.
- Tweetovi i odgovori
- Medijski sadržaj
Blokirali ste korisnika/cu @Diazz56356642
Jeste li sigurni da želite vidjeti te tweetove? Time nećete deblokirati korisnika/cu @Diazz56356642
-
Mr. Msalamo proslijedio/la je Tweet
Hoja nzito za mh zitto ccm wanazijibu kwa kutumia uvccm ni ujuha wa kiwango cha juu sana, zitto ndani ya VOA msikilize....pic.twitter.com/s79TCD1xYc
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mtoto wa kiume unaweza kupita popote hata kama ni sehemu hatarishi ilimradi tu umridhishe mkeo/Mpenzio. Hiyo ni sehemu ya barabara ambayo ilizidiwa na maji hadi kuwa hivyo hadi msimu wa mvua utakapoisha. Lakini mwisho wa siku wanawake mnataka haki sawa na sisi,,,
#Pumbavupic.twitter.com/VqRrIcclWt
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
#Mwanamke unaempenda kwa thati yeye hakupendi, Na mda huu yuko kwa#Mwanaume anaempenda kwa dhati. Lakini#Mwanaume huyo hampendi kwa dhati sema#Mwanamke wako anajipendekeza tu.#ValentineDay bora iwafikie wazazi wangu vipenzi siku ya tarehe 14Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Msimu huu wa siku ya wapendanao duniani
#ValentineDay2020 nadhani ni mda mzuri wa kuwa karibu na demu wako ambae ana kiburi cha asili ili umuache tarehe 14 ya mwezi huu wa mapenzi na kung'oa demu mkali.#Mwanaume wa kweli hapaswi kutabirika.Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mr. Msalamo proslijedio/la je TweetHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Una hata kiwanja cha kujengea nyumba au ndo bado unataka ufaamike kwa kudate na mademu wengi hapa mjini!?
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mr. Msalamo proslijedio/la je Tweet
Kabisa, tena ata iyo ni mingi mno, kwa kawaida mwanamke kufikia 22 at least uwe kwenye serious relationship
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Mr. Msalamo proslijedio/la je Tweet
Washakuliza Kaka duuuu pole
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
Hvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
-
na mtaji mara 2 ya aliokuwa nao yeye na bado nasonga mbele zaidi huku nikimtanguliza mwenyezi Mungu ktk kazi zangu. Naombeni ushauri wenu juu ya huyu mwana, Nimruhusu aje nimuwezeshe au nimuache ajifunze kuwa maisha kuna kupanda na kushuka!?
#Ushauri tafadhali.Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
zi, alikaa Kahama kwa mda kama wa miezi 2 akienjoy maisha. Ila week moja iliyopita nimepokea simu yake akidai aje huku nilipo na nimuazime 1M ya mtaji ila yeye anayo nauli tu yani 25000 tu na hata ya kula hana, Kwa upande wangu nashukuru Mungu ni mwema na ameniinua sana ni,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
sho, Baada ya mda mchache jamaa alibadilika na kuwakoromea wana bila mi kujua, Eti kwanini wamenionesha chimbo!? Mi sikuwahi kumuuliza kwanini alikuwa ananibania kwani niliamini Mungu pekee ndiyo mwamuzi wa yote. Baada ya miezi 3 alirudi Kahama na kuniacha mie nakomaa na ka,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
u ndiyo "Mbona jamaa anaema tusikuoneshe chimbo tunalochukulia mzigo!? " Nikamjibu jamaa kwani chimbo ni lipi!? "Mtukula chimbo lipo kama vipi kesho twenzetu" Nilipokwenda pale ndiyo ikawa afadhali kidogo matunda ya ugenini huku naanza kuyaona na nikakomaa na kazi mwanzo mwi,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
fate wote mzigo ili kupunguza gharama, kumbe jama ana chimbo lake la kuchukulia mzigo pale Mtukula ila kawatonya wana wasiniambie pale kama pana chimbo la mzigo, Baada ya kuwatonya wana wale mmoja wa wale wana akanifata na kuniuliza "Oya huyu mwana ni jamaa yako!? " Nikajib,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
ma msaada wake kwangu ni nauli ya mzigo tu. Mimi nilikaa kimya na kujisemea kimoyomoyo poa tu acha nikomae ukiwa Bukoba kwenda boda ya Mtukula yani Uganda na Tanzania ni kama km 70 au nauli yake ni 5000 kimzigo changu kilikuwa kikiisha yani hadi nimsubiri yeye amalize ndo tu,,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
uza viatu, Jamaa alikuwa tayari mtaji wake ni 3M Ths na mimi mtaji wangu ni 100K jamaa akaniambia sasa cha kufanya tuchukue mzigo wa viatu hapa tupeleke Bukoba na akaniambia nitakusaidia kulipia nauli ya mzigo, Mie ikabidi nimuomba hata 500K ili iwe kama mtaji ila alise,,,,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
ri, akaishi Kahama mambo yakawa safi lakini kwa upande wangu huku Dar hayakuwa poa, Nikaona ngoja nimpigie jamaa wenda atanisaidia,,, Nikampigia simu akapokea nikamuelezea shida yangu na akaahidi kunisaidia, Mda ulipowadia nikaenda Kahama na biashara zetu zilikuwa ni ku,,,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi -
ongo mara mambo yakawa vizuri akarudi akamchukua mke wake wakaja kuishi Dar pamoja, Baada ya miaka kama 3 hivi jamaa akasafiri kikazi mkoani Kahama na huko akakuta mchongo mzuri zaidi akaniambia anahamia Kahama. Mie nikamwambia sawa maisha popote ili mradi tu uyapatie vizu,,,
Prikaži ovu nitHvala. Twitter će to iskoristiti za poboljšanje vaše vremenske crte. PoništiPoništi
Čini se da učitavanje traje već neko vrijeme.
Twitter je možda preopterećen ili ima kratkotrajnih poteškoća u radu. Pokušajte ponovno ili potražite dodatne informacije u odjeljku Status Twittera.

& 2030 MP,,,,,,, I trust in GOD
