Nakutana na waandishi wa habari kuzungumzia ziara ya Rais Mpya wa China nchini Tanzania inayotarajiwa tarehe 24-25 Machi, 2013
-
-
@BernardMembe; safi Mh. labda kwa faida ya sisi, nini mazungumzo yako yalilenga? -
@Anyisile yalilenga kuelezea ziara ya Rais wa China, ratiba na matarajio yetu. Tazama vyombo vya habari leo -
@BernardMembe Nashukuru sana kwa majibu, Mh. Lakini labda nitake kujiridhisha, je tutegemee lolote jipya katika hatua hiyo kama waTanzania?
End of conversation
New conversation -
Loading seems to be taking a while.
Twitter may be over capacity or experiencing a momentary hiccup. Try again or visit Twitter Status for more information.